MJUE MUANDISHI NA KALAMU YAKE.
Habari za wakati huu
wapenzi wa hadithi fupifupi na ndefundefu. Naam, nakukaribisheni kwa
mara nyingine tena kwenye makala yetu hii ya 'MJUE MUANDISHI NA KALAMU
YAKE' ninae kuletea makala hii ni mimi Zubery Razuur Mavugo. Leo tuta
yatazamia maisha ya Muandishi kwa jina la Frank Masai.
HISTORIA YA MAISHA YAKE KWA UFUPI.
Kwa majina anaitwa Frank Masai[hatuja fanikiwa kujua zaidi maana ya
majina yake kwakuwa makala yetu ni bado ni mbegu]. Amezaliwa tarehe
16 Jan 2016
Hadithi App Page
Ni Page ya App yetu ya Hadithi App, ambayo inakuwezesha jinsi ya
kuitumia na kusoma hadithi zetu. unaweza kusoma Riwaya zetu ukiwa mahali
popote na kwawakati wowote.
Bonyeza link yetu kuingia kwenye page yetu.
https://www.facebook.com/Habari-za-Waandishi-155495244812316/
Katika maisha kuna vitu vinaweza kukupa
Bonyeza link yetu kuingia kwenye page yetu.
https://www.facebook.com/Habari-za-Waandishi-155495244812316/
Katika maisha kuna vitu vinaweza kukupa
13 Jan 2016
SEX DEALERS
Sex dealers, stori inayo wahusu wanafunzi wa chuo kikuu wanao amua kujikita katika biashara ya NGONO ili kujipatia maslai makubwa. Ungana nami @eddy_msulwa leo na uanze kufwatilia kisa hichi cha kusisimua-INSTAMERGR
12 Jan 2016
JINI MAHABATI. Na. ELIADO TARIMO
Yule fundi Mkali wa machombezo nchini ELIADO TARIMO
ambaye mwaka mzima alisumbua na kigongo kitwacho UTAMU WA BINAMU soon anachia hii kigongo kiitwacho JINI MAHABATI ambacho kitakuwa ni zaidi yayote maana siyakukosa kabisa mtu wangu nawezaje? kukosa kwa mtonyo mdogo tu wa 3000/= acha masihala wewe mimi tunaweza kuupata kuleeee kwenye magroup yake ambayo yapo fb pamoja na whatsup
MKONO WA MWANDISHI. Na. Hussein O. Molito
MKONO WA MWANDISHI
Kwanza kabisa napenda kukutakia heri ya mwaka mpya, wapo wengi ambao wangependa kuuona mwaka huu lakini mapenzi ya Mungu hayakutaka iwe hivyo kwani ajali za barabarani, magonjwa na mambo mbalimbali yamechukua maisha yao.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)




